Pages

Monday, September 12, 2005

Yasikilizie kwenye bomba!!

Haya jamani kwa wana blog ambao walikuwa wanashangaa huyu mtu kapotelea wapi...???Basi ondoeni wasiwasi nilikumbwa na matatizo ya Rita..
Nasema tena haya mambo ya mvua za ughaibuni na upepo na vimbunga hivyo..Niliviona huku niliko.Almanusura maji yazidi unga .
Nina mengi ya kusema na kuandika ...Ndio kwanza huku mambo yamerudi kwenye mstari rasmi leo.

2 comments:

Ndesanjo Macha said...

Pole sana kwa Rita...mnapaswa kuombea nchi, mara katrina, mara ophelia, mara rita, mara moto kule california...

Indya Nkya said...

Pole dada. Karibu tena