Haya jamani kwa wana blog ambao walikuwa wanashangaa huyu mtu kapotelea wapi...???Basi ondoeni wasiwasi nilikumbwa na matatizo ya Rita..
Nasema tena haya mambo ya mvua za ughaibuni na upepo na vimbunga hivyo..Niliviona huku niliko.Almanusura maji yazidi unga .
Nina mengi ya kusema na kuandika ...Ndio kwanza huku mambo yamerudi kwenye mstari rasmi leo.
3 comments:
Marketing, Advertising and Media News from Dubai, UAE and the Middle East
Top Stories Qatar Airways announces Madrid as new route The addition of Madrid is another step forward to expand Qatar Airways' global, and specifically European services.
Find out how you can buy and sell anything, like things related to music on interest free credit and pay back whenever you want! Exchange FREE ads on any topic, like music!
Pole sana kwa Rita...mnapaswa kuombea nchi, mara katrina, mara ophelia, mara rita, mara moto kule california...
Pole dada. Karibu tena
Post a Comment