Pages

Monday, November 07, 2005

je huu ni ubaguzi??

Nina kazi ya darasani ya kuandika kuhusu jamii na utazamaji wa luninga.nimeshindwa kusema ama kuandika vizuri kutumia kiswahili hata kile kichaga.mada yenyewe inasema hivi"Ethinicity&race has been a long time issue on television."
Hapa nitakuwa nazungumziua jinsi televisheni zimekuwa zikionjesha aina fulani za jamii na yanayowazunguka.. katika vipindi vya luninga kama "friends"Bill Cosby"oprah na wengineo.Je wanaonyesha ule uhalisia wa jamii zao.?Je jamii ndogo kama za wamarekani halisi (wahindi wekundu)wamarekani wa kiasia?Je hawa wamekuwa waki wakilishwa katika hivi vipindi?Nitarejea nikimaliza kuandika kazi yangu ya shule.Hii mada imenikumbusha mengi.

No comments: