Pages

Wednesday, August 31, 2005

Ruwaaaa!!!!

Mfiri..majumaa yamiinda mwakaa ulutrumbuka..mweri wa nani umesia linu..

Ukakaa ukafikiri kiki uleruunda kwa mwakaa uu we si ng'ndo foo.
Ijumaa ili ngimemekubwa na mafkara soni kedekedu ..mamrasa aka alekubwa na mfua ilya ya fkorokoro mrii wose ukavaa mringa kwende barabara foo..kwende umeme foo kwentre chao..washeku ,wameku ,vana wamelia njaa,..vandu wamefaa..Kishaka ametruma ndumaa kwa kila mndru isadii...telefisheni si onyiosha kila saa..vandiu wasakwee.
Sumani ingia imeshaa haa..Imeikaa soni..Ilala uwanja wa mpira na wana ..kwennter ngo'ndo choose wetre..

Wednesday, July 20, 2005

Je utaanza lini!!

Hili jambo la kujali mazingira na kuheshimu kilichoachwa na kizazi kilichopita kimekuwa ni hadithi...na simulizi sizo isha katika masikio ya wanajamii...
Utunzaji wa mazingira huanzia na wewe mwenyewe kupenda kuvuta hewa safi na kujali kizazi kinachokuja.
Ni hivi karibuni nimekuwa nikisoma makala ya mazingira na kufahamu ubaya zaidi wa hizi hewa chafu ambazo binadamu tuna tengeneza.Tunatengeneza vifaa ambavyo tunatumia kwa muda usiopungua miaka kumi huku vikiachaa maafa ya miaka mia moja ijayo.
Kila siku inapokucha mwanadamu anawaza ni jinsi gani atarahisisha hiki bila kujali ni wa ngapi atakao waathiri.Gesi za magari na mashine nzito nzito ,bandari zinazoshusha mizigo huku zikipuliza gesi zinazochafua anga na kuhatarisha maisha ya viumbe hai,watoto,watu wazima na wazee.
Ni wakati sasa umefika wa kuanza kufikiri na kuweka mtazamo makini kuhusu mazingira.Maana kizazi kijacho kitakuja kutoa hukumu ambayo wewe na mimi tungeiepuka leo hii.
Tunza mazingira,achana na tabia ya kutumia mifuko ya nailoni,chupa za plastiki,kuendesha gari kwa umbali mfupi,tumia usafiri wa umma,acha kutumia madawa kumwagilia bustanini
Kwa wale wanaoweza leo hii amua kutumia gari linalotumia maji tu ama..mafuta ya mimea.Tunza mazingira na yatakutunza..

Thursday, June 23, 2005

Nimerudi!!!

Ngiletrondokia mfiri so siliso enda ...Ilikuwa ni katika harakati za kukimbizana na vitabu vya majira ya joto...Sikujua kuwa ingekuwa hivi...
Nimefurahi leo, narudi nakuandika...Joto limeshakuwa kali...foo njaa kwetre muu...irike...
Kwa wale waliodhani nimeingia mitini Nimerudi niko kamili....

Tuesday, June 07, 2005

KUWA MAMA!!

Haki kubwa kuliko yote duniani ya mwanamke ni kuwa mama .

Mwanzo ni mgumu!!

Nimekuja katika lugha mama...lugha ambayo nilijifunza kuongea kabla ya hizo zingine nizijuazo leo hii.Unapojifunza kuongea huwa unajifunza kwa ishara kwanza ndipo mambo mengine yana kuja.Ndio mwanzo wa kuanzaa kusema...maaa...ukimaanisha mama..pa..ukimanisha baba..
Je ulikuwa unajua kuwa watoto wadogo ambao wanajifunza kuongea ni vizuri ukawafundisha lugha ya Ishara kwanza?Inasemekana watoto wanaojifunza lugha ya ishara wanakuwa wepesi zaidi kuongea.
Je ulikuwa unajua kuwa kujifunza chombo cha muziki humsaidia mtoto katika ufahamu wakati wa ukuaji?Hata wewe pia unaweza kujifunza...hii haijali umri wala muda...Hakuna kitu kizuri kama kufanya kile upendacho katika muda uupendao?Hakuna kitu kizuri kama kufikia lengo lako......
"HAKUNA JAMBO GUMU CHINI YA JUA"

Friday, June 03, 2005

mfua na muu!!

Mfua na muu fyoose fyetre manufaa wakwe..ngaamba uleininga usaakwe kimu...wesakwaa muu ,mfuu??

Monday, May 30, 2005

kimo ksalele!!

Kwentere ng'ondo fyeni nimara eese..haa linu na ng'amaa kwentere mfua na fkorokoro..fo njaa..motro umekatika haa ...ukanikumbusa darslamu...
Ngili na mwana wakwa ...amelia lini kwa ajili ya fkaro koro..amelala motreka...nami ngaasa iandika ...uuhhh..ngiinde ilala..for ng'amaa see..

Tuesday, May 24, 2005

kimanye choose

kwentere muda ngafikiri na imanya kwentre ngi'ndo ksha sha imanya itrerta lugha sa kiune...imanya lugha so kwe kusaidia shule ,kasini ,na foose wenda...
Ngilimanya kishaka mfiri so silosiha ngieveandika ngisheko...amba ngiishi foo.Manya itengenesa matreta haa ingi urunda nusu mfiri iandika...Ngiliiinda shule kapisa kingimanye ....

Monday, May 23, 2005

kishaka kikiumu

Linu nimefikirii...ngaamba kishaka kikuumu itretra ..iaindika..,
Ngilimemanya foo...Ngile fikiri na kuitani ili ka swahili oo kiingeresa..
Ngisaidieeni washaka!! waoose..

Friday, May 20, 2005

Ummeku /msheku kuinda daresini

Kuinda shule or daresini kwetre umri ohh iseeka...mfiri silisosiha kwentre mndu aliiyee malisa shule entere miaka sabini na iwa daktari wa wanyama...Ngaamba wameku na washeku wa haa..weenda shule kila mfiri...ngilisoma shule na darasa lakwa letre msheku wamiaka keseee.
Ngaamba wameke,washeku indeni shule..iseeka kwentere ng'ondo foo...

Wednesday, May 18, 2005

Yaliyojiri!!

Basi katika kutafuta nini kinaendelea katika Tanzania au bongo wengi wasemavyo ...Nimekutana na habari ya kunifurahisha.."sasa Sumaye Raisi"Si utani nenda hapa www.darhotwire.com

Tuesday, May 17, 2005

ngimetirima...

Ngaamba see kishaka na findo fya kieni...ni ng'indo kimu..
Ngashukuru...womi na wose waliondika...Uwiii hasa msasha akwa Mkwenda..na Ndesanjo ...
Haya basi asante sana mlionipomgeza kazi inaanza rasmi...

Monday, May 16, 2005

HAYAWI HAYAWI .....YAMEKUA

Hivi ndivyo navyoaanza kwa kusema....hayawi hayawi yamekuwa...nimeingia rasmi katika ulimwengu wa kublogu...kazi kwenu..
Je unajua utakuwa unapata nini hapa??????? Mchanganyiko wa mawazo,maoni,utafiti na mengineyo katika lugha mbili tofauti..nikimaanisha kichagga na kiswahili..Mtu kwao!!!Jivunie ulichonacho ....kabla hakijaondoka .Na kwa kuanza kabisa tunaanza kufungua mawazoo na kuweka Ukweli mbele na kuondoa fikra za "hatuwezi,siwezi,"Na kufahamu wewe ni nani.
Ngaaamba see...ife ni nifi?

Thursday, May 12, 2005

Ngakuia kindo???

Ngakuia kindo kishaa linu??Foonjaaa kwentrwe muu ...umetirima kwa amba muu wa Talaha kwa
shekuyo....ngiliinda uusakwa ngimanyime kisha nkiiii ngilifinya...shule nilefunga hiyoo..
Mtwemeni ni nng'amaa ...

Wednesday, May 11, 2005

MLAAFO WOMI WA LONGONI NA WAFELE??????

Ngiliinda shule kapisaaa ngimanye kishaka...ngilijifunza kimu kimu haki...ngimanyee chooosee.
kimeksalele..ngilijifunsa ngiandike fitabu...shekuyo asome na voose..ngii jifunse iringi kapisa ngiwafuswe womi na wafele wakwa kona....wamwaii..wamanye kishaka cha Horombo na darslamu.....
KUMEKYA MACHA......NGILIJARIBU KITA KITAA.....